"Njia za kijeshi si njia ya kuifumbua hali ya Libya" amesema hayo waziri wa mambo ya nchi za nje wa Ujerumani Guido Westerwelle akiwa ziarani Beijing.
Mamlaka ya hali ya hewa nchini Kenya imewataka wakaazi wa pwani ya nchi hiyo kuwa katika hali ya tahadhari, wakati eneo hilo likitarajiwa kukumbwa na kimbunga Hidaya.
Waendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu-ICC wametoa onyo dhidi ya "watu wanaotishia kulipiza kisasi" dhidi ya mahakama hiyo au wafanyikazi wake, wakisema kuwa vitendo kama hivyo vinaweza kuwa kosa.
Mamlaka ya hali ya hewa nchini Kenya imewataka wakaazi wa pwani ya nchi hiyo kuwa katika hali ya tahadhari, wakati eneo hilo likitarajiwa kupigwa na kimbunga Hidaya.