Katika duru ya kwanza ya mashindano ya kombe la Ujerumani-DFB Pokal, Shalke 04 iliichapa jana klabu ya Tenigen mabao 11-1.
Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu la Amnesty International limesema mashambulizi mawili ya anga yaliyofanywa na jeshi la Somalia yaliwaua raia 23 ikiwemo 14 mnamo mwezi Machi mwaka huu.