Deutsche Welle: Kwa uchache watu wanane wahofiwa kufariki dunia na wengi zaidi hawajuilikani walipo kufuatia ajali ya boti kwenye kisiwa cha Lamu nchini Kenya.
Watu wasiopungua 188 wamekufa nchini Kenya kufuatia mafuriko na maporomoko ya ardhi tangu mwezi Machi, huku wengine karibu 200,000 wakilazimika kuyahama makazi yao.
Idadi ya watu waliokufa katika mafuriko ya hivi karibuni nchini Kenya imepanda na kufikia watu 228.
Kenya na Somalia zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano baada ya waziri mkuu wa Somalia Hamza Abdi Barre kufanya ziara rasmi na kupokelewa na naibu wa rais wa Kenya Rigathi Gachagua.