Deutsche Welle: Kiongozi wa kundi la kigaidi la al-Qaeda, Ayman al-Zawahri, amesema kundi la Al-Shabaab limejiunga na mtandao huo duniani.
Utawala wa kijeshi wa Burkina Faso umevipiga marufuku vyombo vya habari zaidi vya kimataifa, ikiwa ni pamoja na DW. Hatua hii ni sehemu ya mtindo wa ukandamizaji wa vyombo vya habari.
Waandishi wa habari Tunisia pamoja na viongozi wa upinzani wameelezea wasiwasi wao juu ya kuongezeka kwa mashitaka dhidi yao tangu Rais Kais Saed alipotoa amri ya kuharamisha "habari za uongo."
Shirika linalotetea waandishi wa habari la 'Reporters Without Borders' limetahadharisha kuhusu kuporomoka kwa juhudi za serikali kuunga mkono uhuru wa vyombo vya habari ulimwenguni.