Vikosi vinavyomtii kiongozi anayeng'ang'ania madaraka nchini Cote d'Ivoire, Laurent Gbagbo vimeyashambulia makao makuu ya mpinzani wake kwa makombora.
Rais Joe Biden wa Marekani amemwonya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, dhidi ya kuuvamia mji wa Rafah unaowahifadhi mamilioni ya Wapalestina waliokimbia mapigano kutoka maeneo mengine ya Ukanda wa Gaza.