Zoezi la kuhesabu kura linaendelea nchini Cote D'Ivoire baada ya uchaguzi wa bunge , ukiwa wa kwanza baada ya kuondolewa madarakani rais Laurent Gbagbo.
Yaliyomo katika matangazo ya Jioni: Migogoro ya Gaza na Ukraine kujadiliwa katika mkutano wa jukwaa la kiuchumi mjini Riyadh Saudi Arabia++++Mafuriko yasababisha adha kubwa nchini Kenya watu 76 mpaka sasa wamepoteza maisha++++Sheria mpya ya Iraq inayowalenga watu wenye mahusiano ya jinsia moja yakosolewa na mashirika ya haki za binadamu duniani.
Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas amesema Marekani ndio inaweza kuizuia Israel isiushambulie mji wa mpakani wa Rafah, na kuongeza kuwa kitakachotokea kitakuwa ni janga kubwa katika historia ya Wapalestina.
Mwanadiplomasia mkuu wa Ufaransa Stephane Sejourne, ametoa wito wa utulivu nchini Lebanon wakati wa ziara yake ya pili tangu kulipozuka mvutano wa mashambulizi ya kuvuka mpaka na Israel yaliyochochewa na vita vya Gaza.