Deutsche Welle: Madaktari wa hospitali za umma nchini Kenya wamaliza mgomo wao baada ya serikali kukubaliana nao juu ya kutekeleza matakwa ya madaktari hao.
Rais Joe Biden wa Marekani amesema ataifanya Kenya kuwa mshirika mkuu asiye mwanachama wa Jumuiya ya NATO, hadhi ambayo imetolewa kwa mataifa kama vile Qatar na Israel.
Marekani na Kenya zimesema jana kuwa zitafanya duru mpya ya mazungumzo ya biashara mwezi ujao, baada ya duru ya hivi karibuni iliyofanyika mjini Washington.
Rais wa Marekani Joe Biden ameahidi kushirikiana na Kenya katika sekta ya teknolojia, usalama na kutoa msamaha wa madeni. Ametoa ahadi hiyo alipokutana na Rais William Ruto katika Ikulu ya White House.