Deutsche-Welle:Wachezaji nyota watateremka viwanjani katika kombe la mataifa barani Afrika jumamosi hii licha ya timu mashuhuri kupigwa kumbo .
Umoja wa Mataifa umeziomba Israel na Hamas kutopoteza fursa ya kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano+++Marekani imetoa wito kwa Rwanda iviadhibu vikosi vilivyohusika kufanya shambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo