Deutsche Welle:Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amkubali Joachim Gauck kuwa mgombea Urais kufuatia kujiuzulu kwa Christian Wulff.
Bayer Leverkusen imeonesha kuijongelea fainali ya Ligi ya Europa baada ya kushinda 2-0 dhidi ya Roma jana Alhamisi huko ugenini Italia
Takriban watalii 100 ni miongoni mwa idadi kubwa ya waliokwama baada ya mto kufurika katika hifadhi ya wanyamapori maarufu ya Maasai Mara nchini Kenya kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo hayo.
Shirika la utangazaji la DW limemtunuku Yulia Navalnaya pamoja na Wakfu wa Kupambana na Rushwa ya nchini Urusi tuzo ya Uhuru wa Habari kwa mwaka huu 2024