Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Kenya, idadi ya vifo vilivyosababishwa na mafuriko imefikia 228 na wengine laki mbili wameathirika/ Jeshi la Israel limewaamuru maelfu ya watu kuondoka katika mji wa kusini mwa Gaza wa Rafah, hii ikiashiria kuwa operesheni ya kijeshi iliyokuwa ikitajwa kwa muda mrefu huenda inakaribia kuanzishwa