1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chechnya

Jamhuri ya Chechen, au Chechnya, ni jamhuri ya Urusi, inayokutikana katika eneo la Caucasus Kaskazini, kusini kabisaa mwa Ulaya Mashariki, na siyo mbali na Bahari ya Caspian. Mji Mkuu wa Chechnya ni Grozny.