1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

DW Michezo 29.04.2024

Bruce Amani
29 Aprili 2024

Mabingwa wa Bundesliga Bayer Leverkusen waendeleza rekodi yao ya kutoshindwa, huku zikiwa zimesalia mechi tatu msimu wa ligi kukamilika // Bayern na Dortmund zajiandaa kwa michuano muhimu ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuwa na msimu usioridhisha katika ligi ya nyumbani //Na utasikia kwa nini ramani iliyochorwa kwenye jezi ilisababisha mechi ya Kombe la SHiriksiho Afrika kufutwa

https://p.dw.com/p/4fJGm