1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Polter kukosekana Schalke kwa miezi kadhaa

Josephat Charo
8 Januari 2023

Mshambuliaji wa klabu ya Schalke Sebastian Polter huenda akawa nje ya uwanja kwa miezi kadhaa kutokana na jeraha baya alilolipata kwenye goti katika mechi ya kirafiki na FC Zurich ya Uswisi. Jitihada za Schalke kujinasua mkiani mwa Bundesliga zitaathirika vipi? Msikilize Josephat Charo akihojiwa na Naomi William.

https://p.dw.com/p/4LsM4